Back to top

Dkt.Mpango awashukuru watanzania

23 January 2022
Share

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akiambatana na mkewe mama Mbonimpaye Mpango wameshiriki ibada katika Kanisa Kuu katoliki la Bikira Maria Mshindaji Jimbo la Kigoma ambapo amewashukuru waumini, wananchi wa Kigoma pamoja na watanzania kwa ujumla kwa kumpa faraja yeye pamoja na familia kufuatia kifo cha kaka yake Askofu mstaafu wa kanisa la Anglikana Gerald Mpango.