
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuhakikishia Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Nchini Marekani(CDC) Dkt. Rochelle Walensky, kuwa Tanzania itaendelea kukipa ushirikiano kituo hicho.
.
Mhe. Majaliwa ameyasema hayo alipokutana na kuzungumza na Mkurugenzi huyo katika Ofisi ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam.
