Back to top

MTANDAO WA 'X' KUPIGA SIMU KWA VIDEO NA SAUTI

01 September 2023
Share

Mmiliki wa mtandao wa 'X' zamani Twitter, Elon Musk, amesema hivi karibuni  mtandao huo, utaongeza kipengele cha kupiga simu kwa njia ya sauti na video.
.
Elon ametoa taarifa hiyo, kupitia mtandao huo, ambapo amebainisha kuwa kipengere hicho, kitapatikana kupitia iOS, Android, Mac and Windows na hakitamuhitaji mtu kutumia namba za simu.