Mwenyekiti mtandao wa wanafunzi Abdul Nondo afikishwa Mahakamani.
21 March 2018
Share
Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Abdul Nondo anayedaiwa kujiteka wiki chache zilizopita amefikishwa katika Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Iringa kujibu mashitaka yanayomkabili.