Back to top

13 WAPONA KIPINDUPINDU, 2 WANAPATIWA MATIBABU

29 April 2023
Share

Waziri wa Afya, Mhe.Ummy Mwalimu, amesema wagonjwa 13 kati ya 15 waliothibitika kuugua ugonjwa wa kipindupindu mkoani Dar es Salaam wamepona.

Ameeleza hayo mkoani Dar es Salaam , na kubainisha kuwa wagonjwa wengine wawili kati ya hao wanaendelea vizuri na wanaendelea kupatiwa matibabu.