Back to top

News

Wataalam kutoka Ofisi kuu ya Waendesha Mashtaka Nchi Urusi, wamewasili hapa Nchini kwa ajili ya kushiriki katika kongamano la kitaaluma litakaofanyika tarehe 30 Aprili 2024 katika shule ya uanasheria kwa vitendo Tanzania ( Law School) Jijini Dar es Salaam.