Back to top

News

Rais wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan amewatakia kila la kheri wanafunzi wote wa Kidato cha Sita wanaoanza mitihani yao leo ya kuhitimu elimu ya sekondari leo na kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu awafanikishe katika hatua hiyo kwa mafanikio na kila jema katika hatua zinazofuata.