Back to top

News

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Mbunge wa jimbo la Kavuu katika Halmashauri ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele mkoa wa Katavi Mhe.Geophrey Pinda, amekabidhi gari la wagonjwa kwa ajili ya Kituo cha Afya Kibaoni.