Waziri Pindi Chana amesema Rais Dkt.Samia ameiwezesha Wizara yake rasilimali watu pamoja na rasilimali fedha, ili kuhakikisha kampeni hiyo inafanikiwa na wananchi wengi wanapata msaada wa kisheria bila malipo yeyote.
Waziri Pindi Chana amesema Rais Dkt.Samia ameiwezesha Wizara yake rasilimali watu pamoja na rasilimali fedha, ili kuhakikisha kampeni hiyo inafanikiwa na wananchi wengi wanapata msaada wa kisheria bila malipo yeyote.