Back to top

RUTO ATEUA MKUU MPYA WA MAJESHI

28 April 2023
Share

Rais wa Kenya, William Ruto, amemteua Luteni Jenerali Francis Omondi Ogolla ,kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Kenya.
.
Jenerali Ogolla anachukua nafasi ya Jenerali Robert Kibochi ambaye amemaliza muda wake.
.
Jenerali Ogolla amewahi kuhudumu kama rubani wa ndege za kuvita za Marekani, baada ya kupokea mafunzo ya urubani katika Jeshi la Anga la Merekani (USAF).