Back to top

TANZANIA YATEULIWA KUWA MJUMBE CABOS

10 March 2023
Share

Tanzania imeteuliwa kuwa Mjumbe wa Bodi ya Ushauri wa Michezo ya Jumuiya ya Madola (Commonwealth Advisory Body on Sport - CABOS) kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia 2023 - 2025.
.
Kupitia taarifa iliyotolewa na Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, imebainisha kuwa, hatua hiyo ni kutokana na kuimarika kwa nchi yetu katika nyanja za diplomasia ikiwemo michezo.