Back to top

SPIKA WA BUNGE, MHE. TULIA ACKSON AWASILI MOROCCO

12 June 2023
Share

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Tulia Ackson, amewasili nchini Morocco, leo Juni 12, 2023, ambapo atashiriki Mkutano wa Kibunge wa Majadiliano kuhusu Dini mbalimbali (Conference on Interfaith Dialogue) utakaofanyika nchini humo Juni 13, 2023 hadi Juni 15, 2023.

Dkt. Tulia anatarajiwa kushiriki Mkutano wa Kibunge wa Majadiliano kuhusu Dini mbalimbali (Conference on Interfaith Dialogue) utakaofanyika nchini humo Juni 13 - 15, 2023.