Back to top

https://www.instagram.com/tv/CRY8V1Anv4g/?utm_source=ig_web_copy_link

Mwanamke achoma moto nyumba amuua mpenzi wake Mbezi Makabe

Kwa Mujibu wa Mwandishi wetu Juma Kapalatu aliyefika kwenye nyumba hiyo ambayo kijana huyo alikuwa anaishi na mpenzi wake, ametueleza kuwa nyumba hiyo mmiliki mkubwa ni Neema ambaye alikuwa akiishi na bwana Khamisi, ambapo jeshi la polisi limefika na kuchukua mwili wa kijana huyo.

Subscribe to RSS - https://www.instagram.com/tv/CRY8V1Anv4g/?utm_source=ig_web_copy_link