Back to top

News

Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imefurahishwa na jitihada zinazofanywa na Umoja wa Mapadre Wazalendo nchini (UWAMATA) Jimbo kuu la Mwanza za kuendeleza sekta ya Mifugo kupitia mradi wa  unenepeshaji wa Mifugo ulioanza  kufanyika kwenye eneo la Umoja huo lililopo Kata ya Malya Wilaya ya Kwimba Mkoani Mwanza.