Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bw. Abubakar Kunenge, amesema ushirikishwaji wa wananchi kwenye miradi ya maendeleo unaofanywa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ni wa mfano na unapaswa kuigwa na taasisi zingine.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Bw. Abubakar Kunenge, amesema ushirikishwaji wa wananchi kwenye miradi ya maendeleo unaofanywa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ni wa mfano na unapaswa kuigwa na taasisi zingine.