Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Balozi Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, amesema Serikali imejipanga kupata suluhisho la kudumu la migogoro kati ya wakulima na wafugaji kwa kuimarisha mipango ya matumizi bora ya ardhi na kuhamasisha ufugaji wa kisasa, ili sekta hizo ziendelee kuchangia usalama wa chakula na ukuaji wa uchumi wa Taif










