Back to top

News

Airtel Africa imeandika historia baada ya kuwa kampuni ya kwanza ya mawasiliano barani Afrika kuzindua huduma ya Starlink Mobile nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), ikifungua ukurasa mpya katika upatikanaji wa mawasiliano katika maeneo yasiyofikiwa na minara ya kawaida ya simu.