Back to top

News

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amewataka wafugaji na wakulima kufuata taratibu ili kuepusha migogoro, huku akisema wakulima ni Watanzania na Wafugaji ni Watanzania hivyo Kitu muhimu na cha msingi ni kufuata taratibu.