Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Africa imeanza mwaka wake mpya wa fedha wa 2026/27 kwa mafanikio makubwa, baada ya kuongeza mapato kwa asilimia 31 katika robo ya kwanza ya mwaka 2026/27, yakichochewa na kasi kubwa ya matumizi ya intaneti na huduma za kifedha kwa njia ya mtandao.










