Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imetakiwa kutumia hazina ya maarifa na uzoefu kutoka kwa Mabalozi Wastaafu katika utekelezaji wa mipango mbalimbali ya kuimarisha Diplomasia ya nchi.
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, imetakiwa kutumia hazina ya maarifa na uzoefu kutoka kwa Mabalozi Wastaafu katika utekelezaji wa mipango mbalimbali ya kuimarisha Diplomasia ya nchi.