Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuna umuhimu wa kuanzishwa kwa mfuko maalum wa kuwasaidia wafungwa wanaomaliza vifungo vyao ili waweze kuanza maisha mapya baada ya kutoka magerezani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuna umuhimu wa kuanzishwa kwa mfuko maalum wa kuwasaidia wafungwa wanaomaliza vifungo vyao ili waweze kuanza maisha mapya baada ya kutoka magerezani.