Back to top

RAIS SAMIA ATEUA WAWILI, ATENGUA WAWILI, RITA

11 June 2023
Share

#UTEUZI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi wawili, huku akitengua wawili, katika Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA).