Back to top

News

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amewakaribisha wafanyabiashara wa Czech kuwekeza nchini Tanzania, na kuzinadi fursa nyingi za uwekezaji zinazopatikana katika sekta za utalii, uchukuzi, afya, TEHAMA, nishati, madini, na elimu.