Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapongeza Mabalozi wanaowakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali duniani, kwa kazi nzuri ya uwakilishi ambayo inaonekana kwa kuongezeka kwa masoko ya bidhaa za Tanzania, biashara, uwekezaji, utalii na tekbolojia nchini.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa, amemtaka Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Lazaro Kilahala kuwasilisha majina ya Mameneja wa Kanda na Mikoa wa TEMESA, ambao wameshindwa kutekeleza majukumu yao ya kuwahudumia wananchi ili waweze kuchukuliwa hatua.
Watu 13 wamefariki dunia huku 6 wakijeruhiwa baada ya Lori la mafuta kugongana uso kwa uso na gari dogo la abiria aina ya HIACE, katika eneo la Somanga, wilayani Kilwa, mkoani Lindi.......
Prodigy Endrick ambaye ni mchezaji chipukizi wa Brazil, ameshika vichwa vya habari baada ya kuweka wazi kuwa yeye na mpenzi wake aitwaye Gabriely Miranda, mwenye umri wa miaka 21, wameandikiana mkataba wa mahusiano....
Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Simba, Ahmed Ally, amewataka mashabiki wa klabu hiyo kuwa wavumilivu katika kipindi ambacho timu hiyo inapitia wakati mgumu....
Watu saba wamefariki na wengine 21 kujeruhiwa ,baada ya gari la mashindano kuwaparamia watazamaji katika mashindano ya magari Fox Hill Supercross, siku ya Jumapili huko Diyatalawa, nchini Sri Lanka.