Back to top

News

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, ameteua wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania, TAFORI, kufuatia uteuzi wa Profesa Verdiana Grace Masanja kuwa Mwenyekiti wa Bodi hiyo na Rais Samia Suluhu Hassan.