Back to top

News

Viongozi mbalimbali wa Umma wameipongeza Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kwa kitendo cha kuanzisha huduma ya kujaza na kuwasilisha Tamko la Rasilimali na Madeni kwa njia ya Mtandao (Online Declaration System- ODS).