Back to top

News

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linafanya uchunguzi wa kina baada ya kugundua mwili wa Lilian Danstan Manga (27) ukiwa umefukiwa ndani ya nyumba aliyokuwa akiishi na rafiki yake wa kiume katika Kijiji cha Changarawe, Wilayani Kilosa.