Amesema hayo wakati wa kikao chake na Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya hiyo ya Karatu pamoja na viongozi wa dini na wataalam wanaounda kama ti iliyundwa kuchunguza gharama za maji.
Akizungumza Ikulu Jijini Dar es Salaam baada ya kuwa na mazungumzo na mgeni wake huyo, Mhe.Samia wamekubaliana kurudisha uhusiano ambao kwa muda mrefu umepotea.
Wakizungumza katika mkutano wa Kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo wamesema wananchi wengi wamenyimwa vitambulisho vya taifa kutokana na sura na majina yao kufananishwa na raia wa mataifa yanayozunguka mkoa huo.
Mhe.Majaliwa amesema lengo kuu la mafunzo hayo ni kuwaongezea uelewa kuhusu masuala ya ulinzi na Stratejia kwa ajili ya kulinda maslahi mapana ya Taifa katika utekelezaji wa majukumu ya kila siku.
Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mh. Pauline Gekul , amesema kuwa kwa miaka ya sasa ya magongwa yasiyoambukiza, siri ya maisha ya afya njema ni kujitengea muda wa kufanya mazoezi wewe mwenyewe, ili uwe salama na afya yako.
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof.Adolf Mkenda ametangaza Tume ya watu watatu itakayochunguza uhalali katika utoaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu...