Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema imepunguza vifo vitokanavyo na dharura kwa kuweka miundo mbinu ya vituo vya dharura kwa zaidi ya asilimia 40 kwa Watanzania.
Serikali kupitia Wizara ya Afya imesema imepunguza vifo vitokanavyo na dharura kwa kuweka miundo mbinu ya vituo vya dharura kwa zaidi ya asilimia 40 kwa Watanzania.