Waziri wa Afya Mhe.Jenista Mhagama, amelitaka Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini, kujikita katika tafiti za dawa za tiba asili na mbadala na kuzitumia tafiti hizo ili zilete mchango kwenye sekta ya Afya.
Waziri wa Afya Mhe.Jenista Mhagama, amelitaka Baraza la Tiba Asili na Tiba Mbadala nchini, kujikita katika tafiti za dawa za tiba asili na mbadala na kuzitumia tafiti hizo ili zilete mchango kwenye sekta ya Afya.